Wednesday 3 March 2010

MSTAHAMILIVU HULA MBIVU




Mstahamilivu hula mbivu mafundi kutoka Uingereza wakifunga vifaa vya kisasa huko Fumba kwa kurejesha umeme Zanzibar uliopotea Disemba 10.(Picha zote kwa hisani ya SMS Zanzibar)