Monday 8 February 2010



Eneo la Bustani ya Forodhani iliyopo katika Mji mkongwe Zanzibar www.voanews.com/swahili(Zanzibar Stone Town)ambayo imakarabatiwa wa Mstahiki Aga Khan mwaka 2009 www.theismaili.org, Bustahii hii baada ya kukarabatiwa ilizinduliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Amani Abeid Karume.(Picha kwa hisani ya Mtandao).

No comments:

Post a Comment